- ABIRIA 21 waliokuwa wakisafiri kutoka Buguruni kwenda Mbagala jijini Dar es Salaam, j...
- BAADHI ya wananchi wa Jimbo la Igalula ambao ni wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM...
- HISPANIA imekuwa taifa la nane kushinda Kombe la Dunia baada ya jana usiku kuif...
- a Audax Mutiganzi, Bukoba KANISA la Kiinjili la Kilutheli Tanzana (KKKT) Dayosisi Ka...
- Na Gabriel Mushi SERIKALI ya Mtaa wa Mbezi Luis, imetoa onyo kwa madereva teksi wa k...
New Habari
Moto wawaka CCM
*Viongozi watano CCM wasimamishwa
*Mtambo wa kufyatua kadi wakamatwa
*Wabunge 8 Mwanza wapumulia mashine
*Shy-Rose ampeleka puta Azzan Kinondoni
*Makalla, Murad moto, Ubungo ni kizaazaa
Waandishi Wetu, mikoani na Dar
MOTO unazidi kuwaka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo watu wawili wameuawa kwa kugongwa na gari la mbunge wa Musoma Vijijini aliyemaliza muda wake, Nimrod Mkono, katika eneo la Mkiringo, Barabara ya Musoma-Mwanza.
Kama kulipiza kisasi, kwa hasira wananchi waliofika eneo la tukio nao wameamua kulichoma moto shangingi la mbunge huyo na kuliteketeza kabisa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, ACP Robert Boaz, alisema tukio hilo lilitokea saa 2 usiku. Gari lililohusika ni lenye namba T 173 AZW aina ya Nissan Patrol, lililokuwa likitoka Mjini Musoma kwenda kijijini Busegwe ambako ndiko nyumbani kwa Mkono.
Alisema wakati wa tukio, Mkono hakuwamo kwenye gari hilo. Lilikuwa likiendeshwa na Petro Andrea (43).
Kamanda Boaz alisema waliokufa walikuwa katika pikipiki. Walitambuliwa kuwa ni Magori Magori (39), aliyekuwa akiendesha pikipiki na Wambura Kitongori (40). Wote ni wakazi wa Nyabange, wilayani Musoma.
THE AFRICAN
By Tobias Nsungwe
THE US Ambassador to Tanzania, Alfonso E. Lenhardt has said that Africa was losing out when it does not empower half of its people - namely, women and girls - to succeed intellectually...
By Justin Damian
THE global economy is slowly rebounding from the worst of the recession but the recovery remains too anaemic to create enough jobs to replace those lost so far, a new United...
-Outlines frugality measures
-To issue USD 500M Eurobond
By Shermarx Ngahemera
The government is adamant on the provisional budget of 11.1trn/- despite of having an obvious...
MTANZANIA
Na Mwandishi Wetu
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, ametoa ufafanuzi kuwa mawaziri wote wanaendelea kushika nyadhifa zao hadi muda mfupi kabala ya Rais Mteule kuapishwa.
Jaji Werema alitoa ufafanuzi huo Dar es Salaam...
*Shangingi la mbunge lachomwa moto
*Viongozi watano CCM wasimamishwa
*Mtambo wa kufyatua kadi wakamatwa
*Wabunge 8 Mwanza wapumulia mashine
*Shy-Rose ampeleka puta Azzan Kinondoni
*Makalla, Murad moto, Ubungo ni kizaazaa
Waandishi...
*Waziri Mkuu Pinda apita bila kupingwa Rukwa
*Igunga watoa kali, wamchukulia Rostam fomu
*Aheshimu wananchi, aijaza na kuirejesha jana
*Fomu ya Dk Makongoro Mahanga yakubaliwa
*Kampeni zaanza rasmi leo, wagombea gari moja
Waandishi...
RAI
Na Ibrahimu Rwamulaza
GAZETI la Rai toleo namba 871 la Juni 3-9, 2010, lilikuwa limepambwa na habari ya majigambo ya Mbunge wa Bukoba Vijijini, Nazir Karamagi, iliyokuwa na kichwa cha habari cha ÒNitarudi Bungeni kwa kishindoÓ. Majigambo hayo yametokana...
Na Muhingo Rweyemamu
KWA vyovyote itakavyokuwa, Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu utatawaliwa na vijana, Rai inaweza kuthibitisha.
Tofauti na miaka ya nyuma ambayo siasa za uchaguzi ziliongozwa na kutawaliwa na wazee huku vijana wakiwa wasaidizi...
*Ahamishia Ofisi ya Spika wa Bunge Urambo Mashariki
*Thamani yake yamduwaza Kikwete, asema nchi itafilisika
Na Waandishi Wetu
MBUNGE wa Urambo Mashariki, mkoani Tabora, Samuel Sitta, amedhihirisha kwamba yeye ni mtu wa viwango vya hali...
BINGWA
NA TIMZOO KALUGIRA
MABINGWA wa soka wa Ligi Kuu ya Bara, Simba ya Dar es Salaam wanadaiwa kuzuia kiungo wao, Abdulhalim Humud kwenda nchini Urusi kufanya majaribio ya soka la kulipwa.
Habari ambazo Bingwa imezipata kutoka kwa mtu wa karibu na mchezaji...
NA TIMZOO KALUGIRA
MRITHI wa kipa namba moja wa Yanga, Obren Curkovic anatarajia kutua leo akiwa na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mserbia Costadin Papic.
Kipa huyo ambaye pia kutoka Serbia anaitwa Knezevic Ivan anakuja baada ya Obren kumaliza mkataba...
*Aziomba radhi FA za England, Mexico kutokana na makosa ya waamuzi
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
RAIS wa FIFA, Sepp Blatter ameonya kuwa Ufaransa inaweza kufungiwa kushiriki soka la kimataifa iwapo serikali itaingilia uendeshaji wa timu ya taifa.
Blatter...
DIMBA
Na Tumain Kyomo, DACICO
JESHI la Polisi linaendelea kumshikilia shabiki wa soka ambaye juzi alivamia uwanja na kwenda kumkumbatia Ricardo Kaka wa Brazil ilipokuwa ikiumana na Taifa Stars.
Tukio hilo lililoshangaza wengi lilitokea Uwanja wa Taifa...
Na Dominic Isiji
KOCHA mkuu wa timu ya soka ya Brazil, Carlos Dunga, ameeleza kusikitishwa kwake na kuondoka kwa kocha mkuu wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, Marcio Maximo ambaye mkataba wake unakamilika mwezi ujao.
Tayari Shirikisho la Soka...
*Anunua tiketi za Sh milioni 90 kwa ajili ya wanachama wa Yanga kuiona Stars ikikipiga na Brazil wiki ijayo
Na Mwandishi Wetu
HATIMAYE ahadi ya mdhamini wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji imetimia na sasa wanachama 3,000 wa klabu hiyo wana...
More Latest News
-
Daladala latumbukia mtoni Dar ABIRIA 21 waliokuwa wakisafiri kutoka Buguruni kwenda Mbagala jijini...
-
Umeyasikia ya Tatu Ntimizi? BAADHI ya wananchi wa Jimbo la Igalula ambao ni wanachama wa Chama...
-
Hispania yaweka historia HISPANIA imekuwa taifa la nane kushinda Kombe la Dunia baada...
- 1
- 2
- 3
- 4



Advertisement

cartoons


